DKT. TULIA APIGA KURA UYOLE, AHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KWA WINGI

 








Spika mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mgombea Ubunge Jimbo la Uyole kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt.Tulia Ackson, leo tarehe 29 Oktoba, 2025 amejitokeza kupiga kura katika kituo cha Shule ya Msingi Tambukareli mkoani Mbeya.


Dkt. Tulia ametoa wito kwa wananchi wa jimbo hilo na watanzania kwa ujumla kujitokeza kwa wingi kupiga kura na kutumia haki yao ya kikatiba kuchagua Viongozi wanaowataka.

Comments

Popular posts from this blog

IDD AZZAN AJA KIVINGINE TENA JIMBO LA KINONDONI

WANAOSEMEKANA KUWA WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA*

DOLA MILIONI 2 ZA KIMAREKANI Kununufaisha WAKULIMA NCHINI