DKT. TULIA APIGA KURA UYOLE, AHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KWA WINGI

 








Spika mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mgombea Ubunge Jimbo la Uyole kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt.Tulia Ackson, leo tarehe 29 Oktoba, 2025 amejitokeza kupiga kura katika kituo cha Shule ya Msingi Tambukareli mkoani Mbeya.


Dkt. Tulia ametoa wito kwa wananchi wa jimbo hilo na watanzania kwa ujumla kujitokeza kwa wingi kupiga kura na kutumia haki yao ya kikatiba kuchagua Viongozi wanaowataka.

Comments

Popular posts from this blog

WANAOSEMEKANA KUWA WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA*

UBORESHAJI WA HUDUMA ZA WATEJA: MBUNGE BAGAMOYO AKABIDHI MAGARI KWA TANESCO

NAIBU WAZIRI WA NISHATI SALOME MAKAMBA AKUTANA NA MKURUGENZI WA Go PLANT EMMANUEL LIKIDA KWA LENGO LA KUJADILI NAMNA YA KUSHIRIKIANA KATIKA MAANDALIZO YA MIJADALA