MAKONDA ACHUKUA FOMU YA UBUNGE ARUSHA MJINI





Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Jimbo la Arusha Mjini, Paul Christian Makonda rasmi amechukua fomu ya uteuzi katika Ofisi za Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) jijini Arusha.


Makonda aliyeambatana na mkewe pia amesindikizwa na watu zaidi ya 150,000 wakiwamo viongozi mbalimbali wa CCM Wilaya ya Arusha.

Comments

Popular posts from this blog

IDD AZZAN AJA KIVINGINE TENA JIMBO LA KINONDONI

WANAOSEMEKANA KUWA WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA*

DOLA MILIONI 2 ZA KIMAREKANI Kununufaisha WAKULIMA NCHINI